Nitrous oxide inachangia kuongeza kiasi cha Oxygen katika mtiririko mzima wa uchomaji mafuta katika gari na kubadilisha mafuta gavi kuwa nguvu inayotumiwa na injini..
Pia hupooza chemba za kuchomea mafu
ta (combustion chambers) hivyo inatoa uwanda mpana kwa injini kujirahisishia uchomaji wa mafuta kwa kiwango stahiki na nguvu kuongezeka mara dufu
Hivyo basi Nos inasaidia kujaza hewa ya oxygen katika chemba za kulipua mafuta.., Jinsi hewa ya oxygen inavyojaa basi na kiwango cha mafuta kuchomwa katika chemba kinaongezeka maradufu vilevile.. Nguvu inaongezeka maradufu..
#njia nyingine inayoweza kuongeza ufanisi wa injini ni kuweka TURBOchargers au SUPERchargers..
No comments:
Post a Comment